Edo Kumwembe Amtetea Chasambi ‘Ni Mchezaji Mzuri Kuliko Mutale’

Admin Updates3 months ago6 Views

 

“Naona Yanga wanafurahia kweli kweli jambo hili. Wanamchonganisha Chasambi na timu yake bila ya kujali sana masilahi ya taifa. Chasambi akikubali kutoka mchezoni basi tutakuwa tumempoteza mmoja kati ya vijana wazuri ambao siku za usoni wangeweza kutubeba kule Taifa Stars.
Ni kijana ambaye anahitaji mwendelezo wa ubora katika timu kama Simba ambayo ina mechi nyingi za Kimataifa kumkomaza. Baadae ataibuka tu kuwa tegemeo katika timu ya taifa kwa sababu ana kipaji kizuri miguuni.
Hata mechi timu yake yenyewe itakumbukwa kwa tukio lake la kujifunga lakini ukitazama kwa jumla wake, alikuwa na mechi bora na katika safu ya ushambuliaji wa Simba ni afadhali umpange yeye kuliko Joshua Mutale. 😅 Huu ndiyo ukweli.
.
Tusimtoe mchezoni. Mutabaribu hazina ya taifa. Kuna wachezaji hawawezi kuhimili kile kinachoandikwa dhidi yao.”
— Legend, Edo Kumwembe.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.