Dereva Ashikiliwa Kwa Kuhusishwa na Tukio la Mtalaka Wake Kumwagiwa Tindikali

2 years ago144 Views

 

Dereva wa Cuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Lusajo Makiwelu anashikiliwa na Polisi baada ya Mtalaka wake, Witness Nguvalwa (32) na mtoto wake (Miezi 8) kumwagiwa tindikali wakiwa wanasubiri daladala eneo la Maghorofani
Mwanamke huyo ambaye amejeruhiwa maeneo ya usoni, mabegani na shingoni, anasema alitoka #Iringa akimletea Mtalaka wake wito wa Mahakama uliolenga kugawana mali walizochuma pamoja baada ya ndoa yao kuvunjwa Kisheria, mwaka 2020
Ameeleza alipokuwa Kituoni akisubiri usafiri, alipita Mwanaume mmoja ambaye hakumfahamu akiwa ameshika kichupa mkononi kilichokuwa na kimiminika na mara baada ya kumsalimia aliwamwagia kimiminika hicho usoni na kutoweka

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.