BREAKING:Haya hapa majina ya Vituo vya Treni ya SGR,yapitishwa na Mhe.Rais Samia Rasmi

1 year ago114 Views

 

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia stesheni ya Reli ya Kisasa ya SGR ya mkoani Dodoma kuitwa jina lake na sasa itajulikana kama Samia Station huku stesheni ya Dar es Salaam ikipewa jina la mtangulizi wake, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

Akitangaza majina ya stesheni zote za reli ya SGR, Rais Samia amsema, Stesheni ya Morogoro itaitwa jina la Rais wa awamu ya Nne, Jakaya Kikwete huku ile ya Tabora ikipewa jina la Rais wa awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi

Stesheni ya Shinyanga imepewa jina la Rais wa Kwanza wa Zanzibar, hayati Abeid Aman Karume, Stesheni ya Mwanza itaitwa Julius Nyerere na Kigoma mwisho wa Reli, itaitwa Benjamin Mkapa.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.