BREAKING: Simba wampa “Thank You” Pa Omar Jobe

Admin Updates10 months ago6 Views

 #BREAKING: Simba wampa "Thank You" Pa Omar Jobe

Uongozi wa Klabu ya Simba umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na mshambuliaji Pa Omar Jobe (25) baada ya kuitumikia kipindi kifupi cha miezi sita.

Jobe ambaye ni raia wa Gambi alijiunga na Simba wakati wa dirisha dogo la usajili, Januari 15, 2024 akitokea katika timu ya Zhenis inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kazakhstan akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake.

Jobe amefanikiwa kuifungia Simba mabao matatu tu kwenye mashindano yote ikiwa ni bao moja Ligi Kuu ya NBC dhidi ya tabora United, bao moja Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Jwaneng galaxy na bao moja kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Tembo FC.

Jobe na BabaCar ndio nyota wawili wa Simba SC wa kimataifa ambao hawakutumiwa tiketi ya kuwasili Nchini tayari ya kujiandaa na msimu mpya wa mashindano.

Umeipokeaje “Thank you” ya Jobe?

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.