Breaking News: Rais Samia Amwaga Mabilioni Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM)

Admin Updates1 year ago4 Views

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimebainisha kuwa kimejizatiti kikamilifu kusimamia utekelezaji wa Mradi wa Mageuzi ya Kiuchumi Katika Elimu ya Juu (HEET) ili kuwezesha uboreshwaji wa miundombinu ya elimu na hivyo kuwafikia wananchi wengi zaidi na kuchangia katika maendeleo endelevu.

Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa baraza la chuo hicho, Balozi Mwanaidi Maajar wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa usimamizi wa ujenzi wa majengo 21 ya chuo hicho utakaogharimu shilingi bilioni 110 zilizotolewa na Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.

 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.