Aidha imeondoa baadhi ya masharti ya dhamana ikiwemo kuripoti kila wiki kwa Kamishina wa Polisi Mkoa na badala yake wametakiwa kuripoti kila mwisho wa mwezi Kisutu.
Pia imewaamuru washitakiwa kutokusafiri nje ya Tanzania bila kibali cha mahakama na kwamba masharti mengine yaliyokuwepo Kisutu yataendelea kubaki kama ilivyo.
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2IYSs0d
via