Beyonce aongoza list ya mastaa wanaolipwa pesa nyingi kufanya show..

Admin Updates8 years ago5 Views

Mastaa wa muziki nchini Marekani kila siku wanazidi kutengeneza pesa kutokana na kazi zao ikiwemo mikataba ya showz mbalimbali wanazozifanya. Ili kuhakikisha haupitwi na chochote mtu wangu nakusogezea hii kuhusu kiasi cha pesa wanacholipwa mastaa wakubwa kama Drake, Rihanna, Beyonce, Nicki Minaj, Jay Z na wengine wengi ili kufanya show moja tu.
Inawezekana ulikuwa na maswali juu ya gharama wanazotoza mastaa hawa ili kufanya show moja tu, Mrembo Beyonce ametajwa kuongoza kwa kuhitaji pesa nyingi zaidi ili aweze kufanya show moja tu popote duniani.
Hii ni list ya wasanii na kiasi cha pesa wanazotoza kwa show moja
Beyonce – Dola milioni 2 na zaidi
Drake – Dola Laki 5 mpaka Milioni 1.
Rihanna – Dola Milioni 2 na zaidi.
Kanye West – Dola Laki 5 na zaidi.
Lil Wayne – Dola Laki 4.
A$AP Rocky – Dola laki 3.
Fetty Wap – Dola Laki 6
Martin Garrix – Dola Laki moja na nusu.
Kendrick Lamar -Dola Laki 5 mpaka Milioni 1.
Nicki Minaj – Dola Laki 5.
J. Cole – Dola Laki 2.
The Weeknd – Dola Laki saba na nusu mpaka Milioni 1.
Avicii – Dola Laki 5.
Jay Z – Dola Milioni 1 na zaidi.
Pharrell Williams -Dola Laki 5 mpaka Milioni1.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.