Bamia Hii Hii Unayoijua..Pambana na Magonjwa Yafuatayo kwa Kutumia Bamia..!!!

Admin Updates1 year ago6 Views

 

 

watu wengi tumekua hatutumii bamia either kwa radha yake au tu kasumba ya kuona Bamia ni MBOGA ya walala hoi !!!. 
Leo Naomba ufahama Bamia kama moja ya Mboga za majani ndio MBOGA yenye uwezo wakusaidia afya zetu ,,,Bamia ina unatajiri wa nutrients mbali mbali ,, nutrients izo ni 
1)- Calories – 30 calories
2)-Vitamin C- 21 Milligrams
3)-Carbohydrates – 7.6 Grams 
4)-Fatty – 0.1 grams 
5)-Magnesium – 16 milligrams
6)-Diatery Fibers – 3 grams .
Kutokana na kua nautajiri huo mkubwa,, Tafiti zimethibitisha kua BAMIA ni kiboko ya Magonjwa yafuayo 
– Diabetes ( kisukari)
-Asthima ( inayoanza na iliyokwisha kuathiri)
-Cholesterol
-Kidney Disease (Magonjwa ya figo)
Ulcers (Vidonda vya tumbo ).
-Mimba ,,husaidia mtoto kukua akiwa na Afya njema na aliyekamilika .
-Anemia 
-Matatizo ya kutoona Vizuri .
-Pia Bamia huongeza nguvu ktk mfumo wa mwili wa kinga ktk kupambana na magonjwa .
– Kuondoa Maumivu wakati wakutoa haja kubwa 
-Kuimarisha Mifupa lege lege .

NAMENGINEYO MENGI AMBAYO SIJAYAANDIKA ,, .
Watu wazaman walifanikiwa kuishi miaka mingi kwa kutumia vitu km ivi…
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.