Aziz K Mchezaji Ghali zaidi Ukanda wa CECAFA, Huu ndio Mkwanja Anaovuta…

Admin Updates3 months ago7 Views

 

MICHEZO:YANGA SC 🇹🇿Kiungo mshambuliaji, Stephen Ki Aziz 🇧🇫 ndiye mwanasoka anayelipwa pesa nyingi zaidi katika ukanda wa CECAFA, akipokea $240,000 kila mwaka hii ni sawa na Milioni 623,704,190.40
Kwa mujibu wa @almachiuskanyasi Yanga SC🇹🇿 pia inampa nyumba kamili, tikiti mbili za ndege za kiwango cha biashara kwa mwaka, na pia kuna bonas ambazo anapata ikiwa atafunga na kutoa assists
Kumbuka mpaka sasa amehusika kwenye mabao 12 akiwa amefunga mbao 7 na kutoa assists 5
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.