ARSENAL YATINGA FAINALI FA YAICHAPA 2-0 MAN CITY ,AUBAMEYANG APIGA ZOTE

Special Correspondent4 years ago5 Views

Mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao yote dakika za 19 na 71 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Nusu Fanaili ya Kombe la FA England usiku wa Jumamosi Uwanja wa Wembley, London. Arsenal inakwenda fanali ambako itakutana na mshindi wa Nusu Fanal ya pili Leo kati ya Chelsea na Manchester United

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.