Klabu ya soka ya Al Ahly imeifanyia umafia Simba Sc baada ya kuwasili nchini Misri kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa robo fainali ya CAFCL utakaopigwa kesho Ijumaa nchini humo.
Mwandishi wa habari wa Clouds Media ambaye yupo kwenye msafara wa Simba ulioenda Cairo Misri kwa ajili ya mchezo huo, ameshuhudia tukio hilo na hapa anasimulia.
“Al-Ahly kupitia Rider walifanya uhuni wa kulizungusha basi la wachezaji wa Simba kwa dakika (45′) kwenda Hotelini sehemu ya dakika (10′) .. Mwenyekiti wa bodi ya Simba, Salim Abdallah ‘Try again’ ikamlazimu kupambana na askari aliyekuwa anaongoza Rider ambaye baadae akasema yalikuwa ni maagizo kutoka Al-Ahly,” amesema Nassib Mkomwa.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







