TANZIA: Rais Mstaafu Mkapa amefariki Dunia “tulipokee hili, msiba mkubwa”

5 years ago108 Views

Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ametangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa ambae amefariki wakati akiwa anapatiwa matibabu Hospitali Jijini Dar es salaam.
“Mzee wetu Benjamin William Mkapa, Rais wa Awamu ya Tatu amefariki Hospitali DSM ambako alikuwa amelazwa, Watanzania tulipokee hili, tumepata msiba mkubwa na tuendelee kumuombea Mzee wetu ambaye ametangulia mbele ya haki”- JPM

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.