Jionee Biashara za Kufanya Maeneo ya Chuo na Zenye Faida

Admin Updates2 years ago7 Views

 

Biashara zinazolipa na zenye faida ambazo unaweza kuzifanya ukiwa karibu na maeneo ya chuo kwa hapa Tanzania.

1. Biashara Ya Nyumba Za Kupanga

Makazi ni hitaji muhimu sana kwa binadamu, hivyo sehemu ya vyuo wanafunzi watahitaji vyumba kwa ajiri ya kuishi pia wafanyakazi wa chuo nao ni mateja wa vyumba vya kupanga.

2. Biashara Ya Vifaa Vya Kielekitroniki

Vifaa vya kielekitroniki ni pamoja na simu za mkononi, computer, chargers, usb, covers za simu, screen protector, betri za pc au laptops na vingine vingi vitumiavyo umeme ambavyo ni moja ya mahitaji ya wanafunzi. 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...