DK.ABBASI AMUWAKILISHA WAZIRI MCHENGERWA TAWA IKISAINI (MOU) NA GREEN CORP YA SINGAPORE

2 years ago128 Views

 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Mei 19, 2023, Dar es Salaam, amemuwakilisha Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Mohamed Mchengerwa kushuhudia utiaji saini wa Makubaliano ya Awali (MoU) kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Wanyamapori (TAWA) na kampuni ya GreenCop kutoka Singapore, katika masuala ya biashara ya hewa ya ukaa.

Hafla hiyo imefanyika katika Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT), Dar es salaam.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.