Hawa ndio Watu Maarufu Duniani Waliofariki Kabla ya Kufikisha Miaka 50

Admin Updates1 year ago4 Views

 

1.Aaliyah, miaka 22. Alikuwa ni mwimbaji wa muziki Nchini Marekani, alifariki kwa ajali ya ndege.

2.Malcom X, miaka 39. Alikuwa ni mwanaharakati wa haki za biinadamu. Aliuwawa.

3.Martin Luther King, miaka 39. Alikuwa pia mwanaharakati Nchini Marekani. Aliuwawa na watu wasiojulikana

4.Whitney Houston, miaka 49. Alikuwa Mwanamuziki Nchini Marekani. Alifariki kwa madawa.

5.2pac Shakur, miaka 25. Alikuwa mwanamuziki Nchini Marekani, Aliuwawa kwa kupigwa risasi.

6.Bob Marley, miaka 36. Alikuwa Mwanamuziki maarufu wa Reggae Nchini Jamaica. Alifariki kwa Kansa.

7.Bruce Lee, miaka 32. Actor wa filamu za mapigano, sababu za kifo zake bdo ni utata mpaka leo.

8.John F. Kennedy, miaka 46 Alikuwa Rais wa Marekani. Aliuwawa kwa kupigwa risasi.

9.Princess Diana, miaka 36. Alikuwa ni mke wa mtoto wa Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa ajali ya gari, wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa.

10.Ernest Che Guevara, miaka 39. Mwanamapinduzi wa Argentina. Aliuwawa na CIA.

11. Notorious B.I.G, Miaka 23.

Taja wengine.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.