Mbunge afariki kwa ajali ya Pikipiki, RC Mbeya, anena ‘Alikuwa akielekea shambani kwake’

2 years ago120 Views

Mbunge wa Jimbo la Mbarali (CCM), Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya Fransis Leonard Mtega amefariki Dunia mchana wa leo baada ya kupata ajali ya pikipiki akiwa anaelekea shambani kwake.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amethibitisha taarifa hizo ambapo amesema “Mtega amefariki kwa ajali ya pikipiki iliyokuwa imembeba ambayo imegongana na trekta (Power Tiller)”.
Homera amesema mwili wake Mbunge huyo utaondolewa Hospitali ya Chimala na kupelekwa Hospitali ya Rujewa inakopatikana huduma yenye jokofu huku akiahidi kutoa taarifa zaidi baadaye “Kuna wanaosema pikipiki alikuwa anaendesha mwenyewe, wengine wanasema alipakiwa lakini asilimia kubwa wanasema alikuwa anaendesha mwenyewe, tunafuatilia zaidi.

 

SOMA ZAIDI HAPA

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.