Jeshi la Polisi latangaza Nafasi Mpya za Ajira, Zisome Hapa

Admin Updates1 year ago6 Views

 

Mkuu wa jeshi la polisi nchini, IJP camillus wambura ametangaza nafasi mpya za ajira kwa vijana wataokidhi vigezo vilivyotajwa kupitia barua iliyotolewa na ofisi yake.

BONYEZA HAPA KUSOMA NAFASI HIZO

Katika taarifa yake iliyotolewa Julai 18, 2023 IJP Wambura ametaja vigezo mbalimbali huku kigezo (a) mwombaji anatakiwa kuwa raia wa Tanzania (b) awe amehitimu kidato cha nne kuanzia mwaka 2019-2022 kwenye umri kuanzia miaka 18-25.

IJP Wambura ameeleza mwombaji anatakiwa awe amemaliza kidato cha nne na kupata ufaulu wa daraja I-IV na kwa mwombaji mwenye daraja la IV anapaswa kuwa na ufaulu wa pointi 26-29.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.