Simba SC, Singida BS Zafuata Nyayo za Yanga na Azam
Simba Sc imechukua alama zote tatu dhidi ya Gaborone United kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) huku Singida Black Stars ikiilaza Rayon Sport ya Rwanda kwenye kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)
Ni muendelezo wa ushindi kwa timu za Tanzania kwenye michuano ya Afrika baada ya Yanga Sc kuilaza Williete Sc ya Angola kwenye CAFCL kabla ya Azam Fc kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya El Merriekh Bentiu ya Sudan Kusini kwenye CAFCC l.
FT: Gaborone Utd ๐ง๐ผ 0-1 ๐น๐ฟ Simba Sc
โฝ 15โ Mpanzu
FT: Rayon Sports ๐ท๐ผ 0-1 ๐น๐ฟ Singida BS
โฝ 23โ Tchakei
