Paul Pogba Asimamishwa Kucheza Soka, Kisa Hiki Hapa

Admin Updates1 year ago10 Views

 

Kiungo wa Juventus, Mfaransa Paul Pogba, amesimamishwa kwa muda kucheza Soka, kutokana na kukutwa na hatia ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ambazo zimezuiliwa michezoni.

Kipimo, kilichofanywa baada ya ushindi wa Juve dhidi ya Udinese, mechi iliochezwa mwezi Agosti mwaka huu, kilitambua uwepo wa Testosterone, Homoni ambayo huongeza nguvu (endurance), kinyume na Sheria, kwa Pogba ambaye alianzia benchi katika mchezo huo.
Taasisi ya kupambana na Dawa za kuongeza nguvu michezoni nchini Italia, leo imefikia uamuzi huo dhidi ya Pogba.

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...