Taarifa toka vyanzo vya ndani vinaeleza tayari Ali Kiba Ameshaanza
mashambulizi kwa Jokate ..na tukio la hivi karibuni Uwanja wa Dar Live
ambapo Ali Kiba Alisindikizwa na Mrembo Jokate limezidi kutia uzito
Jambo hilo ambapo zimeanza kujadiliwa mitandaoni Hasa Instagram..
Mbali na Mtoko wa Hao wawili Dar live kwenye Instagram kuna akauti yenye
jina la “Jokiba” ikisapoti Mapenzi ya Hao wawili ..Mtu wa Karibu wa Ali
Kiba Alipohojiwa Alisema kuwa ni kweli hawa watu wapo karibu sana ila
hana uhakika kama Wameanza Mchezo wa Baba na Mama…
Aidhaa kunaTaarifa nyingine kuwa Wema Sepetu ambaye naye alishakuwa ex
wa Diamond siku hizi za karibuni amejaribu kujenga uhusiano wa karibu na
Ali Kiba katika kile kinachoelezwa kuwa ni Kutafuta namna ya kulipiza
kisasi kwa Diamond..