MIMI NATUMWA POMBE NA WASANII WAKUBWA,AFUNGUKA MSANII MREMBO WA SINEMA ZA BONGO

10 years ago140 Views

IMELDA MTEMA
MSANII
wa sinema za Kibongo, Brenda Malembeka ‘Kunguru’ ameibuka na kuanika
ukweli wa maisha yake kuwa kabla ya kutoka kisanaa, aliteseka sana kwa
kutumwa pombe na wasanii waliokuwa tayari na majina makubwa.
 

Msanii wa sinema za Kibongo, Brenda Malembeka ‘Kunguru’.
Akizungumza
na mwanahabari wetu, Kunguru alisema kwa kipindi hicho ilimlazimu
akubali kutumwa pombe na mastaa kwani lengo lake lilikuwa ni kupatiwa
nafasi ya kucheza uhusika ukuu. “Nilikubali sana kutumwa pombe na mastaa
wakubwa ili lengo langu litimie, nashukuru Mungu kwa sasa nimepata
shavu kwenye filamu inaitwa Asante iliyoandaliwa na Masai Media Group,”
alisema Kunguru.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.