JINI KABULA AMSHANGAA BUSHOKE..SABABU NI HII HAPA

Admin Updates9 years ago6 Views

jinikabulaa789.PNG

MIRIAM Jolwa, maarufu kama Jini Kabula, ambaye ni staa kutoka Bongo Movie, amemshangaa aliyekuwa mpenzi wake, Ruta Bushoke kumkana kuwa hawajawahi kuwa wapenzi.
Akistorisha na gazeti hili hivi karibuni, Kabula alisema maneno ya mkali huyo wa muziki wa Kizazi Kipya yanaashiria kama mtu anayechanganyikiwa, kwani asingeweza kujinadi kuwa ni mpenziwe kama haikuwa hivyo.
“Yaani inawezekana Bushoke anataka kupata uchizi kwa kweli, hivi kuna mtu anaweza kujinadi kuwa ni mpenzi wa mtu wakati siyo! Kwanza kwa kitu gani jamani? Nina  wasiwasi naye kwamba siyo mzima,” alisema Kabula.
Wiki chache zilizopita, Bushoke aliyeimba kibao  cha Mume Bwege, aliwahi kudai kuwa hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Jini Kabula.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.