BREAKING NEWZZZ:HUYU NDIYE MGOMBEA URAIS NINAYEMKUBALI NA KUMUUNGA MKONO,AFUNGUKA DIAMOND PLATNUMZ..MJUE

Admin Updates9 years ago4 Views

Diamond1

Ni mwaka wa Uchaguzi Tanzania ambapo upinzani mkubwa unaonekana kwenye Wagombea wawili ambao ni John Pombe Magufuli atakaegombea kupitia CCM na Edward Lowassa aliyechukua fomu ya CHADEMA kwenye headlines za muungano wa vyama vya upinzani (UKAWA)
Tayari mpaka sasa tumeona baadhi ya mastaa wa Tanzania wakiweka wazi watu wanaowakubali kati ya hawa wawili, miongoni mwao ni Wema Sepetu aliyeweka wazi kumsupport Magufuli, mwigizaji Jackline Wolper na Aunty Ezekiel wanamsupport Edward Lowassa na sasa ni Diamond kaweka wazi.
Diamond anamsupport John Pombe Magufuli na kayaandika haya >>> Iwe Msanii, Mtangazaji, ama Mwanamichezo, ila Kila Mtanzania anahaki ya Kuchagua kiongozi anaeamini ni Bora, Mchapa kazi, Mwenye Afya na Msimamo ili kutuendelezea Nchi yetu… Kwa Uchunguzi na tathmini niliyoifanya tangu hizi mambo za Kampeni zianze nimegundua na kuamini kuwa huyu ndio Jembe’
Kwenye sentensi ya pili Diamond akaandika >>> ‘Nitakuandikia na kukupostia ushahidi kukuthibitishia kwanini nimeona John Magufuli Pombe ndie anaefaa… unapohisi na wewe una fact za kumtetea umtakaye karibu uniambie hapo halaf na mi nikumwagie zangu, ila usijisumbue Matusi coz hayatokusaidia wala kunisaidia kunibadilisha akili yangu kwa sababu sanasana ntakuona Huna akili Maana nishayazoea, nipe fact zako nami nikupe zangu ili pamoja Tujenge nchi….. #HapaKaziTu #Ccm
Diamond CCM 2P
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.