SOMA HII TAARIFA MUHIMU KUTOKA BARAZA LA MITIHANI KUHUSU VIWANGO VYA UFAULU (GRADE RANGES)

Admin Updates9 years ago6 Views


Baraza
la Mitihani la Tanzania limekuwa likipigiwa simu na watu mbalimbali
wakiomba ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya
kijamii kuwa limebadilisha Viwango vya Ufaulu (Grade Ranges).

Baraza
la Mitihani la Tanzania linapenda kuwajulisha watahiniwa na umma kwa
ujumla kuwa taarifa hizo ni za UONGO na zinalenga kupotosha umma na
kuleta taharuki. 

Hivyo,
Baraza linaomba umma kuzipuuza taarifa hizo kwa kuwa Baraza halijafanya
mabadiliko yoyote kuhusu Viwango vya Ufaulu vinavyotumika sasa. 

Imetolewa na,
AFISA HABARI NA UHUSIANO
NECTA
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.