MSANII PASHA AMUUMBUA LIVE SNURA NA KUFUNGUKA HAYA

Masama Blog9 years ago5 Views

Pasha na snuraBaada ya msanii wa Bongo fleva Snura Mushi kufunguka kuwa hajawahi na hafikirii kutoka na msanii wa Bongo Fleva Pasha amuumbua.
Akizungumza na Enewz Pasha alisema kuwa yeye alishawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Snura ila kipindi hiko Snura alikuwa hajaanza kufahamika na yeye alikuwa akitamba na nyimbo ya ni soo.
“Kusema hajawahi kutoka na star hiyo ni uongo na amedanganya mimi nilikuwa na uhusiano nae tena nakumbuka kipindi kile nilikuwa namuimbiaga nyimbo yangu ya ni soo na ile ya am sorry”,alisema Pasha.

 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.