Mama Akiri Kufanya Mapenzi na Mwanawe wa Kumzaa

Admin Updates8 years ago5 Views

Mama mmoja aliye na miaka hamsini na mbili amekiri kuwa na uhusiano wa kimapenzi  na mwanawe.

Yvonne Banda, kutoka Zambia amekiri kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanawe na kusema kuwa hufanya mapenzi naye kila jumatano kama taratibu za tambiko.

Mama huyo amesema kuwa alianza kufanya hivyo na mwanawe, Abel, tangu mwaka elfu mbili na mbili baada ya kuamrishwa na mganga.

Aitha, amesema kuwa ‘shughuli’ hiyo imeisaidia bishara yake kunawiri, ijapokuwa anasema kuwa inamfanya kupoteza nguvu.

Akieleza katika misa ya kanisa moja nchini humo, Banda amesema kuwa ameshindwa kuacha kufanya mapenzi na mwanawe kwa woga kuwa atapoteza utajiri wake.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.