INASIKITISHA SANA…WAWILI WAUA WAKE ZAO NA KUJINYONGA KISA HIKI HAPA

Admin Updates8 years ago8 Views

Kwa mijubu wa tarifa iliyotolewa na kamanda wa polisiRukwa tukio la kwanza lilitokea katika kijiji cha Msia wilayan Sumbawanga.Tukio la kwanza Theresia suleimani aliuwawa na mme wake aitwaye Patric kipesa kutokana na wivu wa kimapenzi Alisema juzi kwenye majira ya saa moja asubuhialisema mtuhumiwa huyo alimuua mke wake kwa kumkata na shoka kisha naye kujia kwa kujinyonga.Ni baada ya mtuhumiwa kuhisi mke wake anamahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwengine kupelekea kufanya mauaji hayo.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.