Jionee Kilichotokea Baada Ya JK kukutana na Lowasa Kwenye Msiba Wa Kingunge Angalia Hapa

Special Correspondent7 years ago6 Views

February 5, 2018 Mwili wa Mwanasiasa Mkongwe nchini Mzee Kingunge Ngombale Mwiru unaagwa katika viwanja vya Karimjee Jiji Dar es Salaam muda huu nimekusogezea Picha kutoka eneo la tukio shuka chini kuweza kutazama.
Viongozi mbalimbali waliohudhuria nia Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Marais Wastaafu Jakaya Kikwete, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa, Makamu wa Rais Mstaafu Gharib Bilal, Mama Maria Nyerere na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.