Waziri Mwigulu Awasilisha Mapendekezo Haya Bajeti Kuu

Admin Updates1 year ago5 Views

 Mwigulu Awasilisha Mapendekezo Haya Bajeti Kuu

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba leo, Jumatatu Machi 11.2024 amewasilisha mapendekezo ya mfumo na ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25 kwenye kamati ya Bunge zima katika kikao kazi kilochofanyika kwenye ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni jijini Dodoma, ambapo serikali imependekeza kukusanya na kutumia jumla ya shilingi trilioni 49.34 kwa mwaka 2024/25 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 11.2 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2023/24 ya shilingi trilioni 44.39

Katika kikao kazi hicho kilochoongozwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azan Zungu.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.