
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule April 05, 2024 amefanya hafla ya Iftar kwenye viwanja vya makazi yake yaliyopo Barabara ya Faharani, Kata ya Kilimani Jijini Dodoma. Iftar hiyo iliyoandaliwa na Ofisi yake imelenga kufuturisha makundi mbalimbali kwenye jamii ya Wana Dodoma kama ilivyo desturi ya Mkuu huyo.
Senyamule amewahusia waumini wa dini ya Kiislam na Wanadodoma kwa ujumla kudumisha upendo na mshikamano hasa katika kipindi hiki wanapokwenda kukamilisha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan na kusherehekea sikukuu ya Eid El fitr ili kuimarisha Amani na usalama katika Mkoa wao.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33








