Jionee hapa RC SENYAMULE alivyofanya hafla ya IFTAR na kufuturisha makundi mbalimbali pamoja na wana dodoma jijini humo

2 years ago109 Views

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule April 05, 2024 amefanya hafla ya Iftar kwenye viwanja vya makazi yake yaliyopo Barabara ya Faharani, Kata ya Kilimani Jijini Dodoma. Iftar hiyo iliyoandaliwa na Ofisi yake imelenga kufuturisha makundi mbalimbali kwenye jamii ya Wana Dodoma kama ilivyo desturi ya Mkuu huyo.

Senyamule amewahusia waumini wa dini ya Kiislam na Wanadodoma kwa ujumla kudumisha upendo na mshikamano hasa katika kipindi hiki wanapokwenda kukamilisha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan na kusherehekea sikukuu ya Eid El fitr ili kuimarisha Amani na usalama katika Mkoa wao.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.