Shaffih Dauda Afunguka: Hii ndio Afrika, Kocha Anakupa Ubingwa Leo Alafu Kesho Unamfukuza

Admin Updates1 year ago5 Views

Shaffih Dauda Afunguka: Hii ndio Afrika, Kocha Anakupa Ubingwa Leo Alafu Kesho Unamfukuza

Afrika bado tunafanya mambo yetu kivyetu vyetu! Timu imefuzu Fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF bila kucheza mechi hata moja ya Nusu Fainali.

Ni Afrika ambapo RS Berkane ilipewa alama tatu za mezani baada ya mechi kushindwa kuchezwa kutokana na migogoro ya kisiasa. Mchezo wa marudiano, USM Alger walisafiri hadi Morocco lakini hawakuingiza timu uwanjani. Hiyo ndio Afrika!
Huku Tanzania timu imechukua ubingwa halafu kesho yake inatoka taarifa kocha anaondoka! Afrika hiyo. Kuna mambo yanafanyika unabaki kinywa wazi.
Wenzetu wanaofanya mambo kwa kuzingatia weledi wameweza kutofautisha hisia na uhalisia. Pamoja na kuendelea kuhubiri kuhusu weledi lakini nchi nyingi za Afrika tunafanya mambo yetu kizamani.

Inathibitika kwamba tunafanya mambo bila kuzingatia weledi pale inakuja jambo la kimaamuzi, maamuzi mengi huwa yanafanyika pasipo weledi. 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.