BREAKING: Rais Kagame wa Rwanda Ashinda Uraisi Tena Kwa Kishindo

Admin Updates10 months ago7 Views

 

Rais was sasa wa Rwanda ambaye amegombea tena Urais akitetea kiti chake kupitia Chama cha RFP, Paul Kagame ameshinda tena kiti hicho baada ya kupata kura 7,099,810 sawa na asilimia 99.15 ya kura zote zilizopigwa huku akiwaacha mbali Wagombea wenzake wawili Frank Habineza na Philippe Mpayimana.
Frank amepata kura 38,301 sawa na asilimia 0.53 na Mpayimana amepata kura 22,753 sawa na asilimia 0.32.
Rais Kagame sasa ataongoza Rwanda kwa muhula wa nne akiwa ameliongoza Taifa hilo la Afrika Mashariki tangu mwaka 2000 ambapo mwaka 2015 zilifanyika kura za maoni ambazo ziliondoa ukomo wa mihula miwili ya kikatiba kwa Marais wa Nchi hiyo na uchaguzi uliofuata wa mwaka 2017 Rais Kagame alishinda kwa asilimia 98.8%.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.