HATIMAYE Haji Manara Amaliza Hukumu yake ya kifungo hiki..

1 year ago108 Views

 

Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara amemaliza hukumu yake aliyofungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi.
Manara alifungiwa miaka miwili pamoja na faini ya milioni 10 baada ya kukutwa na hatia ya kumkosea nidhamu Rais wa TFF, Wallace Karia wakati wa mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Tanzania Bara (ASFC) kati ya Yanga SC dhidi ya Coastal Union, jijini Arusha.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.