Mkurugenzi Elihuruma Mabelya aandika maneno mazito kwa Rais Samia,SOMA hapa

Admin Updates9 months ago8 Views

Kipekee sana nachukua nafasi hii kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuniamini na kunipa nafasi nyingine ya kutumika chini ya Serikali ya awamu ya sita katika Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam, Mwenyezi Mungu akubariki sana mama.

Nakushukuru sana ndugu yangu Mheshimiwa Abdallah Mtinika, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Temeke kwa muda wote tuliofanya kazi kwa pamoja tukisogeza mbele gurudumu la maendeleo la Temeke yetu.

Pia natumia nafasi hii kuwashukuru Baraza la Madiwani, Watumishi na Wakazi wote wa Manispaa ya Temeke kwa ushirikiano kiano wenu kipindi tunafanya kazi kwa pamoja, takribani muda wa miaka mitatu na siku 14. Mungu awabariki sana na tuendelee kufanya kazi kwa bidii sana.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.