Kennedy Musonda wa Yanga Aifunga Ivory Coast na kuipeleka Zambia AFCON 2025

Admin Updates6 months ago6 Views

 Kennedy Musonda Atupia na Kuipeleka Chipolopolo AFCON 2025

Timu ya taifa ya Zambia ‘Chipolopolo’ imefuzu kwenda AFCON 2025 baada ya kuwalaza Mabingwa watetezi, Ivory Coast kwenye mchezo wa raundi ya 5 wa kufuzu michuano hiyo itakayofanyika Nchini Morocco.

Bao pekee la Kennedy Musonda limewapeleka Chipolopolo kileleni mwa Kundi G wakifikisha pointi 10 baada ya mechi 5 huku Ivory Coast wakiporomoka mpaka nafasi ya pili wakiwa na pointi 9.

Sierra Leone wanakamata nafasi ya tatu wakiwa na pointi 5 huku Chad wakiburuza mkia wakiwa na pointi tatu.

FT: Zambia 🇿🇲 1-0 🇨🇮 Ivory Coast

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.