Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme afunga Mkutano Mkuu wa Sita wa Chama cha Washauri Elekezi wa Mazingira Tanzania (TEEA) uliofanyika Dodoma Desemba 12,2024 kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mha. Hamad Masauni Yusuf.
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme (katikati) akimsikiliza Mha. Paulo Sabilo kutoka NEMC wakati alipokuwa akikagua mabanda mara baada ya kufunga Mkutano Mkuu wa Sita wa Chama cha Washauri Elekezi wa Mazingira Tanzania (TEEA) uliofanyika Dodoma Desemba 12,2024.