Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la JKT Umwema, mjini Morogoro, leo. Waziri Lugola amewatuliza madereva wa vyombo vya moto waliotaka kugoma kutokana na kutopewa mikataba ya kazi, matumizi mabaya ya tochi pamoja na ulipaji wa faini na kusimamishwa hovyo na matrafiki mabarabarani. Lugola mewataka wamiliki wa vyombo vya moto nchini kutoa mikataba ya kazi kwa madereva na wafanyakazi mbalimbali katika makampuni yao. Katikati ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbrod Mutafungwa. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akifurahi jambo wakati alipokua anamsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wasafirishaji Nchini, Chuki Shaban alipokuwa akizungumza katika kikao cha Wadau wa usafirishaji kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la JKT Umwema, mjini Morogoro, jana. Waziri Lugola amewatuliza madereva wa vyombo vya moto waliotaka kugoma kutokana na kutopewa mikataba ya kazi, matumizi mabaya ya tochi pamoja na ulipaji wa faini na kusimamishwa hovyo na matrafiki mabarabarani. Kushoto ni Naibu Waziri wa kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akifurahi jambo wakati alipokua anamsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wasafirishaji Nchini, Chuki Shaban alipokuwa akizungumza katika kikao cha Wadau wa usafirishaji kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la JKT Umwema, mjini Morogoro, jana. Waziri Lugola amewatuliza madereva wa vyombo vya moto waliotaka kugoma kutokana na kutopewa mikataba ya kazi, matumizi mabaya ya tochi pamoja na ulipaji wa faini na kusimamishwa hovyo na matrafiki mabarabarani. Kushoto ni Naibu Waziri wa kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2WVNpQI
via



