Mgeni Rasmi,Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Wakutubi Tanzania (TLA), Bw. James Ndege, akisoma hotuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Wahitimu wa shahada ya sayansi na teknolojia ya chakula, leo Katika ukumbi wa kitivo cha historia, Chuo Kikuu cha Dar es salaam.amabpo mesema wataalamu wazalendo wa chakula, wanajukumu kubwa la kutumia umahiri na weledi wao kusaidia jamii na kutatua changamoto mbalimbali za kijakijamii.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la Wahitimu wa Shahada ya Sayansi na Teknolojia ya Chakula,Bw.Jasson Kyaruzi,akisoma hotuba yake katika ufunguzi wa kongamano hilo lilifanyika Katika ukumbi wa kitivo cha historia, Chuo Kikuu cha Dar es salaam.
Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo, wakiwa makini kumsikiliza Mgeni Rasmi,Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Wakutubi Tanzania (TLA), Bw. James Ndege,
Mgeni Rasmi,Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Wakutubi Tanzania (TLA), Bw. James Ndege,(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2UuZ7BD
via





