Pichani ni wakazi wa Kijiji na Kata ya Namiungo wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma hivi karibuni wakiangalia na kujipongeza kwa kazi mzuri ya ufyatuaji matoli iliyofanywa na wakazi hao kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa kituo cha afya katani hapo ambapo hilo ni eneo maalum lililotengwa kwa ajili ya ujenzi huo.(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU)
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2JIi6VT
via



