WAJUE HAWA MASTAA WANAOGOMBEA UBUNGE JIMBO MOJA

Admin Updates10 years ago5 Views


Bunge NaijaTaarifa
kuhusiana na mastaa mbali mbali ikiwemo wa muziki, filamu, na michezo
kuingia katika headline zinazowangumzia kujihusisha na siasa sio taarifa
ngeni kuzisikia, ambapo kwa sasa mastaa wa movie wanaingia kwenye
headline nyingine ya wao kwa wao kugombea nafasi ya ubunge kwenye jimbo
moja kupitia vyama tofauti.


Mastaa wa filamu kutoka Nigeria Bob
Manuel Udokwu na Tony One Week Muonago wanaendelea kuzungumziwa sio kwa
sababu wamejiingiza kwenye siasa, bali kinachozungumziwa ni kitendo cha
wao kugombea nafasi hiyo katika jimbo moja kitu  ambacho kimeanza
kuvutia hisia za watu wengi.


Actors

Bob Manuel Udokwu (kushoto) na Tony One Week, waigizaji wa Nollywood waliojitosa kugombea katika Jimbo la Anambra.


Bob Manuel Udokwu anagombea kupitia
chama cha APGA na Tony One Week Muonagor anagombea kwa tiketi ya ACN
katika jimbo moja la Anambra, Nigeria ambapo uchaguzi mkuu wa nchi hiyo
unatarajiwa kufanyika katikati ya mwaka 2015, ambapo staa mwingine wa
Nollywood ambaye alitangaza kujiingiza kugombea ubunge ni Desmond
Elliot.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.