WADAU WA USALAMA BARABARA WAKUBALIANA KUWEKA MKAKATI WA KUPUNGUZA AJALI

Special Correspondent6 years ago4 Views

 Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma Fatma Toufiq akizungumza na Washiriki wa Mkutano wa kujadili masuala ya usalama barabarani ulioandaliwa na Chama Cha Wanasheria wanawake TAWLA

 

 Mratibuwa Masula ya Uslama barabra kutoka Umoja wa Mataifa Marry Kessy akizungumzia malengo mawili ya milenia ambayo yamegusia usalama barabarani na muda uliongezwa wa maalengo ya milenia kufikia 2030
 Mkurugenzi wa Chama Cha Wanasheria Wanawake TAWLA, Tike Mwambipile akizungumza na Washiriki wa Semina hiyo juu ya masuala ya usalama barabarani
 Mmoja wa Washiriki wa Semina hiyo na Mdau wa Masuala ya Usalama Barabrani Mzee Hamza Kasongo akichangia katika mjadala wa nini kifanyike kupunguza ajali nchini

Sehemu ya Washiriki wa Semina juu ya Masuala ya Usalama Barabarani yaliyoandaliwa na TAWLA Kwa kushirikiana na Azaki nyingine za kiraia

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2V1t2zW
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...