VIONGOZI MBALIMBALI WAMIMINIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU DR REGINALD MENGI KUTOA SALAMU ZA POLE KWA FAMILIA

Special Correspondent6 years ago5 Views

 Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akitia saini katika kitabu cha Maombolezo ya Msiba wa Dk , Regnald Mengi nyumbani kwa Marehemu Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole, akisaini kitabu cha Maombolezo wa msiba wa Dr. Reginald Mengi Kinondoni Jijini Dar es Salaam
  Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akitoa pole kwa mmoja ya Wafiwa wa Msibani kwa Marehemu Dr. Reginald Mengi
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luaga Mpina akitoa pole kwa mmoja ya Wafiwa wa Msibani kwa Marehemu Dr. Reginald Mengi
 Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akizungumza jambo na Mbunge wa Kinondoni Maulid Mtulya
 Mwenyekiti wa Wazalendo kwanza, Steve Nyerere akizungumza na Mkurugenzi wa Global Publisher Erick Shigongo Msibani kwa marehemu Mengi
Balozi Juma Mwapachu akizungumza na Mbunge Hawa Ghasia mara alipowasili kwenye Msiba wa Marehemu Dr. Reginald Mengi Kinondoni Jijini Dar es Salaam.

Wasanii wa Kundi la Uzalendo kwanza wakiteta jambo msibani kwa Marehemju Dr Reginald Mengi Kinondoni Jijini Dar es Salaam

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2Y1x7WG
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...