Vanessa Mdee Afunguka Kinachomuogopesha Kuingia Kwenye Ndoa

Special Correspondent6 years ago5 Views

Vanessa Mdee Afunguka Kinachomuogopesha Kuingia Kwenye Ndoa

LICHA ya kwamba yupo kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu na mwanamuziki mwenzake, Juma Jux, mwanadada Vanessa Mdee ‘Vee Money’ ametaja sababu zinazomuogopesha kuingia kwenye ndoa.

Akichonga na Mikito Nusunusu, Vee Money alisema licha ya kwamba ana umri wa miaka 30 kwa sasa, lakini hajawaza kuolewa kwa sababu anaogopa atabanwa na majukumu ya ndoa na kushindwa kufikia malengo aliyonayo.

“Umri wangu umefikia wa kuingia kwenye ndoa, lakini siwezi kwani nina malengo makubwa ambayo bado sijayatimiza hadi sasa hivyo nahofia nikiingia kwenye ndoa kuwa nitabanwa na kushindwa kuyatimiza, maisha ni malengo hivyo siwezi kukurupuka tu, nikishayatimiza hayo malengo ndipo nitaingia kwenye ndoa,” alisema Vee Money.

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2s8NQtn
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.