UTAFITI: WANAUME Wenye Upara ni Hatari Kitandani…Soma Hapa

Special Correspondent6 years ago5 Views

UTAFITI ULIOFANYWA MWAKA 1960 NA DAKTARI WA CHUO KIKUU CHA YALE DR JAMES HAMILITON INAONYESHA KWAMBA KUNA UHUSIANO MKUBWA KATI YA USAWA WA HOMONI YA TESTOSTERONE KWA MWANAUME NA UPARA!

WANAUME WENYE KIPARA WANA IDADI YA JUU YA HOMONI YA TESTOSTERONE HIVYO WANAKUWA NA MISULI ZAIDI NA HIVYO KUFANYA WAWE NA HAMU NA NGUVU ZAIDI ZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA.


KUWA AU KUTOKUWA NA UPARA HUTEGEMEA IDADI YA TESTOSTERONE ILIYO MWILINI AMBAPO NDIYO HUCHANGIA UWEZO WA MWANAUME KITANDANI.


UKWELI NI KUWA NI IDADI NYINGI YA HOMONI ZA TESTOSTERONE NDIYO INACHANGIA KUWA NA UPARA!


MHIMU: HOMONI YA ‘TESTOSTERONE’ NI HOMONI INAZOFANYA MWANAUME KUWA NA HAMU NA UWEZO WA KUFANYA MAPENZI.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.