Usitoe siri ya mapenzi yenu ya ndani kwa rafiki yako ….kwanini soma hapa

Admin Updates8 years ago6 Views




Unaweza liona hili ni jambo dogo lakini madhara yake huwa ni ya kukurudia mwenyewe. Iwe mke au mume, usikae katika kibaraza au mahali na shoga zako au rafiki zako na ukaanza kumsifia mwenza wako ni mjuzi wa mahaba, ankufanya hivi, anakupinda vile, “ooh naniu yake ni kubwa sana, inabana au ipo vile” 


Kusema hivyo au yenye kufanana na hayo huamsha mambo mawili, kuna walafi watataka kuhakikisha kwelii, hizo sifa unamzomsia mwenza wako anazo? Wa kujitegesha watajitegesha na wa kumtongoza watamtongoza, halafu baadae utaanza kumtafuta mchawi nani.

source:rahatupu.info

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.