TBS Yateketeza Tani Mbili za Bidhaa Zilizopigwa Marafuku mkoani Arusha.

6 years ago79 Views

Baadhi ya Bidhaa zilizopigwa marufuku na TBS kama zinavyoonekana katika picha
Bidhaa hizo zilizopigwa marufuku na TBS zikiteketezwa

Na Vero Ignatus,Arusha.

Shirika la viwango nchini Tanzania (TBS) limeendesha zoezi la kuteketeza bidhaa zilizopigwa ma ndani za mitumba pamoja na vilainishi vya magari visivyo na ubora vilivyokamatwa katika masoko mbalimbali mkoani Arusha.
Fundi Sanifu wa Ukaguzi kutoka TBS Godifrey Nguma amesema uteketezaji wa bidhaa hizo zinazofikia jumla ya tani 2 zilizoteketezwa katika dampo kuu LA mkoa wa Arusha lililoko kata ya Muriet jijini Arusha ,amesema kuwa nguo za ndani za mitumba zina madhara makubwa ikiwemo kusababisha magonjwa sugu kwa watumiaji hivyo zoezi LA uteketezaji linalenga kulinda afya za wananchi.
Stanford Matei ni Ofisa Mdhibiti kutoka shirika hilo mesema kuwa zoezi hilo limefanyika kwa mujibu wa sheria ili kuhakikisha kuwa bidhaa hizo zinaondolewa masokoni pia kufanya juhudi za kudhibiti uingizwaji wa bidhaa zisizokidhi viwango zinazoingizwa kwa njia za panya .
Mkazi wa Arusha Amir Hemed amesema kuwa operesheheni hiyo ya kuteketeza bidhaa zilizopigwa marufuku katika masoko inapaswa kuwa endelevu ili kuhakikisha kuwa bidhaa hizo zinaondolewa sokoni.

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2xPkpiR
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.