Taifa la Saudi Arabia Litapindisha Sheria ya Ndoa Kisa Christiano Ronaldo na Mkewe

Admin Updates2 years ago6 Views

 

Taifa la Saudi Arabia litapindisha sheria yake kali ya ndoa kisa nyota Cristiano Ronaldo ambapo imeelezwa kuwa ataruhusiwa kuishi pamoja na mpenzi wake, Georgina Rodriguez.
Sheria ya ndoa ya nchini Saudi Arabia inakataza vikali wapenzi wawili ambao bado hawajafunga ndoa, kuishi pamoja. CR7 amejiunga na Klabu ya Al Nassr ambayo inashiriki Ligi Kuu nchini humo.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.