Ili kudhibiti wimbi la ajali za barabarani zikiwamo zinazohusisha gari za viongozi na watumishi wa umma, Jeshi la Polisi jijini Dodoma limeeleza mikakati yake ikiwamo kuwapa mafunzo ya muda mfupi.
Ili kudhibiti wimbi la ajali za barabarani zikiwamo zinazohusisha gari za viongozi na watumishi wa umma, Jeshi la Polisi jijini Dodoma limeeleza mikakati yake ikiwamo kuwapa mafunzo ya muda mfupi.