Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Benjamin William Mkapa amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Julai 24, 2020 katika Hospitali jijini Dar es salaam.
Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Benjamin William Mkapa amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Julai 24, 2020 katika Hospitali jijini Dar es salaam.