Rais Jakaya Kikwete, leo jioni atalihutubia taifa kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akitarajiwa kuzungumzia mambo makubwa manne. Spika wa Bunge, Anne Makinda aliwaambia wabunge jana asubuhi
Rais Jakaya Kikwete, leo jioni atalihutubia taifa kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akitarajiwa kuzungumzia mambo makubwa manne. Spika wa Bunge, Anne Makinda aliwaambia wabunge jana asubuhi